6/recent/ticker-posts

Waziri Mbarouk ateua wajumbe watatu BTMZ

Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Zanzibar Said Ali Mbarouk amewateua Wajumbe watatu kuwa Wajumbe wa Baraza la Taifa la Michezo la Zanzibar.

Wajumbe hao ni Ndugu Ameir Mohamed Makame kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar.

Wengine ni Hassan Kificho kutoka Idara ya Watu wenye Ulemavu na Khamis Abdallah Said kutoka Wadau wa Michezo.

Uteuzi huo umeanza Octoba 10, 2014

IMETOLEWA NA MAELEZO ZANZIBAR 

Post a Comment

1 Comments

  1. Je kuna mjumbe yeyote kutoka Pemba kati ya hawa?

    ReplyDelete