GARI aina ya Mark II yenye namba za
usajili Z885 CH iliokuwa ikitokea Micheweni kwenda Chakechake Pemba, na kuacha
njia na kuingia mabondeni, eneo la meli tano kwenye mpindo ambapo ni eneo
maarufu kwa kutokezea ajali za gari kupinduka (picha na Haji Nassor, Pemba)
Serikali Yatajivunia Mafanikio ya Maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam
Katika Siku 100 za Uongozi wa Rais Samia
-
Na Avila Kakingo, Michuzi Tv
MSEMAJI wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo, Gerson Msigwa, amesema Serikali ya Awam...
9 hours ago
0 Comments