GARI aina ya Mark II yenye namba za
usajili Z885 CH iliokuwa ikitokea Micheweni kwenda Chakechake Pemba, na kuacha
njia na kuingia mabondeni, eneo la meli tano kwenye mpindo ambapo ni eneo
maarufu kwa kutokezea ajali za gari kupinduka (picha na Haji Nassor, Pemba)
SANGU: BODI YA WADHAMINI WCF KUTEKELEZA DIRA 2050
-
Na. OWM-KAM – Dodoma
Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) imetakiwa kuweka
mikakati ya kuanza utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maende...
3 hours ago
0 Comments