WANANCHI wa shehia ya Mgogoni wilaya ya Micheweni
Pemba, wakijiosomea habari mbali mbali zinazochapishwa na Gazeti la Zanzibar
leo, wananchi hao walipatiwa gazeti hilo, baada ya waandishi wa habari
kuzungumza nao juu ya maendeleo ya fedha za TASAF wanazopewa kaya lengwa (picha
na Haji Nassor, Pemba)
VODACOM YAENDELEA KUSAMBAZA UPENDO MBARALI MKOANI MBEYA,YAKABIDHI KAPU
KAMPENI YA 'TUPO NAWE TENA NA TENA'
-
Meneja mauzo wa Vodacom Tanzania Plc wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya
Happyness Lyimo ( wa pili kulia) pamoka na afisa wa kampuni hiyo Wema
Mpwanga ( kulia)...
8 hours ago
0 Comments