Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA inatowa ratiba ya Utoaji wa Vitambulisho vya Taifa kwa Wananchi wa Zoni Nne za Unguja katika Wilaya ya Mjini. Na kuwataka Wananchi kujitokeza kwa wingi kuchukuwa Vitambulisho vyao katika vituo vilivyotajwa katika zoni zao
ENDELEENI KUIMARISHA UFUATILIAJI WA UTEKELEZAJI WA MTAALA ULIOBORESHWA.
-
Serikali imeitaka Taasisi ya Elimu Tanzania kuendelea kuimarisha
ufuatiliaji wa tathimini ya utekelezaji wa mitaala iliyoboreshwa ili
kuleta matokeo cha...
38 minutes ago
0 Comments