Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA inatowa ratiba ya Utoaji wa Vitambulisho vya Taifa kwa Wananchi wa Zoni Nne za Unguja katika Wilaya ya Mjini. Na kuwataka Wananchi kujitokeza kwa wingi kuchukuwa Vitambulisho vyao katika vituo vilivyotajwa katika zoni zao
UJUMBE RASMI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA KIMATAIFA YA WANYAMAPORI – 2026
-
Kauli Mbiu ya Mwaka 2026:
“Medicinal and Aromatic Plants and Their Contribution to Human Welfare: The
Way Forward for Sustainable Use”
(“Mimea ya Dawa na...
13 minutes ago
0 Comments