Wananchi wakiagalia magari yaliogongana katika barabara ya mwanakwerekwe, katika ajali hiyo iliotokea katika moja ya njia ya kukatisha kurudi sokoni kwerekwe gari ndogo ikiwa katika muelekeo wa kukata kona hiyo na kustukia kugongwa na gari ya pick up ikiwa na shehena ya saruji, katika ajali hiyo hakuna mtu akiyejeruhiwa ila kulikuwa na uharibifu wa gari ya salon upande wa dereva. kama inavyoonekana.
KAYA FOUNDATION YAKABIDHI VITI MWENDO, BIMA ZA AFYA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Taasisi isiyo ya kiserikali, Kaya Foundation, imekabidhi msaada wa viti
mwendo vitano vilivyotolewa na Ubalozi wa Ufaran...
35 minutes ago
0 Comments