Wananchi wakiagalia magari yaliogongana katika barabara ya mwanakwerekwe, katika ajali hiyo iliotokea katika moja ya njia ya kukatisha kurudi sokoni kwerekwe gari ndogo ikiwa katika muelekeo wa kukata kona hiyo na kustukia kugongwa na gari ya pick up ikiwa na shehena ya saruji, katika ajali hiyo hakuna mtu akiyejeruhiwa ila kulikuwa na uharibifu wa gari ya salon upande wa dereva. kama inavyoonekana.
SAFARI YA KUZAA NA KUHAMA KWA NYUMBU YATUA FITUR HISPANIA
-
Na Mwandishi wetu.
Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia taasisi zake inaendelea kunadi
vivutio vya utalii vilivyopo Tanzania katika maonesho ya FITUR
y...
5 minutes ago
0 Comments