Maji ni uhai kama wanavyoonekana Wanafunzi hawa wakiwa wakipata maji baada ya mwendo wa kurudi majumbani baada ya masomo yao wqakiwa katika mmoja wa mfereji katika mitaa ya makadara, mradi huo wa maji umefadhiliwa na Mbunge na Mwakilishi wa jimbo la Rahaleo Zanzibar
WAZIRI MKENDA AWATAKA WATHIBITI UBORA KURIPOTI CHANGAMOTO ZA SHULE
-
NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYO
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Adolf Mkenda, amewataka Wathibiti
Ubora wa Shule kuhakikisha wanatoa taarifa kwa wak...
11 hours ago
0 Comments