Bwana Yussuf Shoka (Kushoto)akizungumza na Profesa Abdilatif, wakati alipomtembelea na kufanya mazungumzo ya kitaalamu ya Kifasihi.wakati alipotembelea nchi Uingereza hivi karibuni.
Profesa Abdilatif Abdalla akiwa pamoja na Mkuu wa
Idara ya Afrika, SOAS Dr. Alena Rettova. Kushoto ni mwandishi wa Paka wa Binti
Hatibu Bwana Yussuf Shoka
Profesa Abdilatif Abdalla akiwa pamoja na Bwana
Yussuf Shoka. Kushoto ni Mhadhiri wa Kiswahili na Tafsiri, SOAS Dr. Chege
Githiora



0 Comments