WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Tanzania, Mhe:Hussein Ali Miwnyi wakwanza kutoka kulia, akiwa na viongozi wa
serikali wakielekea kwenda kuzindua skuli ya msingi jojo Wilaya ya Wete Mkoa wa
Kaskazini Pemba.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Tanzania, Mhe:Hussein Ali Mwinyi akiondosha kitambaa kuashiria uzinduzi wa skuli ya
Jojo msingi Wilaya ya Wete Mkoa wa kaskazini Pemba, ikiwa ni shamra shamra za
miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar. (Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MABANDA sita ya skuli ya Jojo Msingi Wilaya ya Wete
Mkoa wa kaskazini Pemba, yaliyozinduliwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la
Kujenga Taifa wa Tanzania Mhe:Hussein Ali Mwinyi, ikiwa ni shamra shamra
za miaka 51 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Mkao wa Kaskazini Pemba Mhe:Omar Khamis
Othman, akizungumza na wananchi wa Jojo mara baada ya kuzinduliwa mabanda yao
sita ya skuli kijijini hapo. (Picha na
Abdi Suleiman, PEMBA.)
NAIBU waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar
Mhe:Zahra Ali Hamad, akizungumza na wananchi wa jojo Wilaya ya Wete Mkoa wa
Kaskazini Pemba, mara baada ya kuzinduwali kwa jingo la skuli yao ya msingi.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Tanzania
Bara, Mhe:Hussein Ali Miwnyi wakanza kutoka kulia, akizungumza na wananchi wa
jojo Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, mara baada ya kuzindua jingo la skuli
ya msingi kijijini hapo.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
0 Comments