Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania Hani Bin Abdulla Mominah leo alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa ajili ya kumuaga Rais baada ya kumaliza muda wake wa kazi Nchini.[Picha na Ikulu.]
KAYA FOUNDATION YAKABIDHI VITI MWENDO, BIMA ZA AFYA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Taasisi isiyo ya kiserikali, Kaya Foundation, imekabidhi msaada wa viti
mwendo vitano vilivyotolewa na Ubalozi wa Ufaran...
48 minutes ago


0 Comments