Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais katika mkutano wa siku moja uliozungumzia utekelezaji mpango kazi wa Ofisi hiyo kwa kipindi cha mwezi Julai-Disemba 2014 katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo jioni,[Picha na Ikulu.]
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais Dk.Omar Dadi Shaajak (kushoto) na watendaji wengine wakifuatilia kwa makini Taarifa ya Utekelezaji wa mpango kazi wa Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais kipindi cha mwezi Julai-Disemba 2014 iliyotolewa na Waziri Nchi Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais Fatma Abduhabib Ferej katika mkutano uliofanyika leo jioni chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Uongozi wa Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais katika mkutano wa siku moja uliozungumzia utekelezaji mpango kazi wa Ofisi hiyo kwa kipindi cha mwezi Julai-Disemba 2014 katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo jioni,[Picha na Ikulu.]
SERIKALI YAPELEKA TABASAMU KWA WANAWAKE,VIJANA NA WENYE ULEMAVU MTWARA
-
Na Mwandishi wetu, Mtwara.
Serikali kupitia Ofisi ya Halmashauri ya Mtwara Mikindani imekabidhi vifaa
saidizi na kiasi cha shilingi milioni 342 ikiwa n...
3 hours ago



0 Comments