Ujumbe wa Manispaa ya Kiruna, Sweden waanza ziara ya kikazi Makunduchi ambapo wametembelea eneo linalopendekezwa kujengwa Chuo cha biashara, kitengo cha chuo kikuu huria cha Tanzania, maktaba ya kisasa na vitengo vyengine vya kutoa elimu. Kwenye picha muwekezaji mzalendo wa Makunduchi ndugu Ali Jussa akimuonyesha eneo la kujengwa chuo hicho ndugu Ove mwenye miwani nyeusi. Ndugu Ove ni mkuu wa miradi ya mashirikiano kati ya wadi za Makunduchi na Manispaa ya Kiruna. Wengine katika picha ni wajumbe wa Kamati ya wadi za Makunduchi
SERIKALI YAPELEKA TABASAMU KWA WANAWAKE,VIJANA NA WENYE ULEMAVU MTWARA
-
Na Mwandishi wetu, Mtwara.
Serikali kupitia Ofisi ya Halmashauri ya Mtwara Mikindani imekabidhi vifaa
saidizi na kiasi cha shilingi milioni 342 ikiwa n...
2 hours ago


0 Comments