Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, ikitowa huduma za ndege kubwa
baada ya kumalizika kwa ujenzi wake wa maegesho ya ndege na barabara ya
kuondokea, hivi karibuni kama inavyoonekana picha ndege mbili kubwa za Ethiopian airline na Oman Air zikiwa katika uwanja huo kwa
wakati mmoja zikitowa huduma ya kusafirisha abiria kupitia uwanja huo
TANZANIA, INDIA ZASAINI MAKUBALIANO YA KUENDELEZA TIBA ASILI, WHO YAPONGEZA
-
Na WAF – New Delhi
Serikali ya Tanzania na India zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) juu ya
ushirikiano kwenye Sekta ya Afya ili kuendeleza tiba asilia ...
1 hour ago
0 Comments