Kocha wa Al Hilal akitowa maelekezo kwa wachezaji wa timu yake wakati wakiwa katika mazoezi uwanja wa Amaan Zanzibar wakijiandaa na mchezo wao wa marudiano na timu ya KMKM unaotarajiwa kufanyika jumamosi hii katika uwanja wa Amaan Zanzibar wakiingia uwanjani wakiwa na ushindi walioupata nyumbani wanahitaji sare ili kusonga mbele na Timu ya KMKM inahitaji ushindi wa mabao matatu bila, ili kusonga mbele.
ADEM YAKUTANA NA WADAU WA KIMATAIFA KUIMARISHA UONGOZI WA SHULE ZA SEKONDARI
-
Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) leo imepokea ujumbe wa wadau
wa maendeleo kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Mastercard Foundation,
Education...
7 hours ago
0 Comments