Kocha wa Al Hilal akitowa maelekezo kwa wachezaji wa timu yake wakati wakiwa katika mazoezi uwanja wa Amaan Zanzibar wakijiandaa na mchezo wao wa marudiano na timu ya KMKM unaotarajiwa kufanyika jumamosi hii katika uwanja wa Amaan Zanzibar wakiingia uwanjani wakiwa na ushindi walioupata nyumbani wanahitaji sare ili kusonga mbele na Timu ya KMKM inahitaji ushindi wa mabao matatu bila, ili kusonga mbele.
DKT NATU: TANZANIA NA UNICEF KUENDELEZA USHIRIKIANO
-
*Na. Joseph Mahumi, WF, Dodoma*
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba, amekutana na
kufanya mazungumzo na Naibu Mwakilishi wa Shiri...
1 hour ago
0 Comments