Kocha wa Al Hilal akitowa maelekezo kwa wachezaji wa timu yake wakati wakiwa katika mazoezi uwanja wa Amaan Zanzibar wakijiandaa na mchezo wao wa marudiano na timu ya KMKM unaotarajiwa kufanyika jumamosi hii katika uwanja wa Amaan Zanzibar wakiingia uwanjani wakiwa na ushindi walioupata nyumbani wanahitaji sare ili kusonga mbele na Timu ya KMKM inahitaji ushindi wa mabao matatu bila, ili kusonga mbele.
Dar City, Fox Divas watwaa ubingwa wa betPawa NBL 2025
-
Na Mwandishi wetu
Timu ya Dar City kwa upande wa wanaume na Fox Divas kwa upande wa wanawake
zimetwaa ubingwa wa mashindano ya klabu bingwa ya mpira wa k...
11 hours ago
0 Comments