Mwakilishi wa Jimbo la Mpendae Mhe Said Mohammed Dimwa akizindua kisima cha Maji Safi na Salama kilichochimbwa na Kampuni ya Bia Tanzania TBL, kulia Meneja Uhusiano wa TBL Doris Malulu. uzinduzi huo umefanyika huko mpendae Zanzibar.
Tume ya Uchunguzi yakutana na Balozi Possi, Nyamanga
-
TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na
baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imeendelea na vikao vyake leo
Febru...
31 minutes ago
0 Comments