Mafundi wa Baraza la Manispaa Zanzibar wakiwa katika zoezi la kiufundi katika moji ya
taa za barabarani za nguvu za jua za
solar, wakiifanyia matengenezo kama walivyokutwa na mpiga picha katika barabara
ya mlandege
KAMATI YA BUNGE YADHIHIRISHIWA JINSI MTU KALE ALIVYOPATIKANA NGORONGORO.
-
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii ikiongozwa na
Mwenyekiti wake Mhe. Timotheo Mnzava (Mb) leo tarehe 13 Machi, 2026 Karatu
imedhih...
2 hours ago
0 Comments