Afisa wa Kitengo cha Kupambana na Kichocho Zanzibar Ndg Mahfoudh Mbarouk,akichukua maelezo kwa Mwananchi wa Shehia ya Kilimahewa Unguja kwa mwananchi Ndg Mohammed Ibrahim, wakati wa zoezi hilo la kupia wananchi haja ndogo kama wana maambukizi ya kichocho, minyoo na maradhi matende, Zoezi hilo linafanyika katika semehu mbalimbali likiwa limeazia katika shehiya ya Kilimahewa
KITULO GARDEN MARATHON KUITANGAZA NJOMBE, RC MTAKA AFUNGUKA
-
Na Mwandishi Wetu
MKUU wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka amewakaribisha Watanzania hasa
wanariadha kushiriki Kitulo Garden Marathon inayotarajia kufanyika Me...
30 minutes ago
0 Comments