WAFANYAKAZI wa Kikosi cha Zimamoto na Uokozi Kisiwani Pemba, wakiwa juu ya Paaa la nyumba inayomilikiwa na Kombo Othaman, iliyoko maeneo ya Makondeko Machomanne wakitoa msaada wa kuzima moto uliounguza chumba cha watoto katika nyumba hiyo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAFUGAJI WATII AGIZO LA DC KASILDA WAANZA KUONDOA MIFUGO.
-
SAME.
WAFUGAJI wanaoishi nje ya wilaya ya Same ambao walikuwa wameingiza mifugo
yao ndani ya wilaya hiyo katika vijiji vilivyopo kata ya Vumari bila kuw...
16 minutes ago
0 Comments