KIJIKO cha Baraza la Manispa Zanzibar likilifanyia usafi moja ya jaa katika
maeneo ya mitaa ya michezani na
misufini, ili kuweka mazingira safi ya eneo hilo, hasa ikizingatiwa kipindi hichi cha mvua za masiki zikiaza
kunyesha. Taka hizo zinaweza kuleta madhara kwa wakaazi wa eneo hilo
CCM KUFANYA MAPITIO SHERIA IDADI NYUMBA ZINAZOPASWA KUSIMAMIWA NA MABALOZI
-
-Lengo ni kuwapunguzia mzigo wakati wa kutekeleza majukumu yao
Na Said Nwishehe,Michuzi TV
KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi(CCM) Dk.Asha-Rose Migiro am...
29 minutes ago
0 Comments