Watalii wakiwasili katika bandari ya Zanzibar kwa Boti ya Kilimanjaro 3, ili kuaza safari zao za Kitalii katika Visiwa vya Zanzibar akifanya taratibu za Uhamiaji katika bandari ya Malindi baada ya kuwasili ili kutembelea sehemu mbalimbali za historia ya Zanzibar . Historia ya Zanzibar ni moja ya kivutio kwa wageni mbalimbali wanaotembelea katika kisiwahichi.
NAIBU WAZIRI OFISI YA RAIS -UTUMISHI ARIDHISHWA UTEKELEZJI MIRADI YA TASAF
-
Na Mwandishi Wetu, Karatu.
NAIBU Waziri wa Ofisi ya Rais-Utumishi, Regina Qwaray, ameonyesha
kuridhishwa na utekelezaji wa miradi iliyojengwa na Mfuko wa...
1 hour ago
1 Comments
Mbona hatuoni mabadiliko, hayo matunda ya utalii anakula nani?
ReplyDelete