MSHAMBULIAJI wa timu ya Umeme ya Kiuyu Hamad
Muhidini akiwatoka walinzi wa timu ya Super Falcon, katika mchezo wa ligi
daraja la pili taifa Pemba mchezo uliopigwa katika uwanja wa Ngerengere Umeme
ilishinda 1-0,(Picha na Ameir Khalid, PEMBA).
SERIKALI ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA VIONGOZI WA DINI-DKT. MWIGULU
-
-Asema lengo ni kujenga Taifa lenye hofu ya Mungu, upendo, haki na
uwajibikaji
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 18, 2026 ameshiriki Ibada...
9 hours ago
0 Comments