LICHA ya Mvua zinazoendelea
kunyesha kisiwani Pemba, suala la usafi wa miji limekuwa likipewa uzito wa hali
ya Juu, pichani gari la baraza la mji Chake Chake likibeba taka katika maeneo
ya katikaki ya mji kama lilinavyoonekana katika picha.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
TANESCO YAHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA RUVUMA
-
Afisa Uhusiano na Huduma kwa Wateja wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO)
Mkoa wa Ruvuma, Alan Njiro amewahimiza wananchi kujikita katika matumizi ya
ni...
20 minutes ago
0 Comments