LICHA ya Mvua zinazoendelea
kunyesha kisiwani Pemba, suala la usafi wa miji limekuwa likipewa uzito wa hali
ya Juu, pichani gari la baraza la mji Chake Chake likibeba taka katika maeneo
ya katikaki ya mji kama lilinavyoonekana katika picha.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
TANZANIA YATUMIA MICHUANO YA AFCON 2025 KUUZA MAZAO YA UTALII
-
Na mwandishi wetu, Morocco
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hassan Chande (Mb), amesema
Tanzania inatumia fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (...
7 hours ago
0 Comments