Mchezaji wa Timu ya Usolo Munir akimpita mchezaji wa Timu ya JKU Omar wakati wa mchezo wao wa Ligi ya Kikapu Kanda ya Unguja mchezo uliyofanyika uwanja wa Mao Zedong.katika mchezo huo Timu ya JKU imeshinda mchezo huo kwa Vikapu 69-40.
JAB YAKEMEA UVUNJAJI WA SHERIA ZA AJIRA KATIKA SEKTA YA HABARI
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewasisitiza waajiri kwenye
vyombo vya habari nchini kuzingatia kikamilifu masharti ya...
5 hours ago














0 Comments