Mchezaji wa Timu ya Usolo Munir akimpita mchezaji wa Timu ya JKU Omar wakati wa mchezo wao wa Ligi ya Kikapu Kanda ya Unguja mchezo uliyofanyika uwanja wa Mao Zedong.katika mchezo huo Timu ya JKU imeshinda mchezo huo kwa Vikapu 69-40.
DK.GWAJIMA ATOA RAI WATUMISHI WANAWAKE TANESCO WAWE VINARA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum,
Dk.Dorothy Gwajima amewatoa rai kwa wanawake watumishi wa Sh...
56 minutes ago














0 Comments