6/recent/ticker-posts

Hongera Dk Shein

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amepitishwa rasmi na Halmashauri kuu ya CCM kuwa mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM kwa Zanzibar hivi punde.

Post a Comment

0 Comments