Jengo la Afisi ya Baraza la Manisppa Zanzibar likiwa katika hali nzuri baada ya kufasnyiwa ukarabati mkubwa wa jengo hilo lilioko katika Mji Mkongwe wa Zanzibar na tayari limeaza kutowa huduma zake baada ya ujenzi wake kama linavyoonekana pichani leo asubuhi likiwa katika harakati hizo.
VIJANA WAKUMBUSHWA KULINDA TASWIRA YA NCHI KIMATAIFA
-
Serikali imewataka vijana wanaopata fursa za ajira nje ya nchi kuwa
mabalozi wa Taifa kwa kuzingatia nidhamu, uadilifu na tamaduni katika nchi
wanazokwenda...
7 hours ago
0 Comments