Jengo la Afisi ya Baraza la Manisppa Zanzibar likiwa katika hali nzuri baada ya kufasnyiwa ukarabati mkubwa wa jengo hilo lilioko katika Mji Mkongwe wa Zanzibar na tayari limeaza kutowa huduma zake baada ya ujenzi wake kama linavyoonekana pichani leo asubuhi likiwa katika harakati hizo.
FUKUO LA KUFUKUA MAAJABU YA NGORONGORO LAFUKULIWA
-
Waswahili husema "Dunia ni jumba la maajabu " Ngorongoro haiishiwi maajabu
, Ni kama vile lile fukuo la kufukulia maajabu ndani ya hifadhi ya eneo la
Ng...
9 hours ago
0 Comments