Biashara ya Matunda ya Tikiti Zanzibar kimekuwa kikubwa kutoka na matunda hayo kulimwa kwa wingi katika maeneo mbali ya Unguja na Pemba na kufanya matunda hayo kupatikana kwa wingi na bei yake kuwa nzuri tikiti moja linauzwa kati ya shilingi 1000/= na 4000/= inategemea ukubwa wake na ubora.
Teknolojia : Serikali Yaombwa Kutazama Upya Ghrama za Usajili na Kodi kwa
Vyombo vya Habari vya Mtandaoni
-
Serikali imeombwa kupunguza gharama za usajili wa vyombo vya habari
mtandaoni (Online Media) ili kutoa fursa kwa vijana wengi zaidi kujiajiri.
Ombi hil...
2 hours ago
0 Comments