Biashara ya Matunda ya Tikiti Zanzibar kimekuwa kikubwa kutoka na matunda hayo kulimwa kwa wingi katika maeneo mbali ya Unguja na Pemba na kufanya matunda hayo kupatikana kwa wingi na bei yake kuwa nzuri tikiti moja linauzwa kati ya shilingi 1000/= na 4000/= inategemea ukubwa wake na ubora.
MASTERCARD YAITAMBUA EXIM BANK TANZANIA KWA TUZO MBILI, IKITHIBITISHA
UONGOZI KATIKA HUDUMA ZA ELITE NA MATUMIZI YA KADI
-
Mastercard leo imefanya ziara yake maalumu katika makao makuu ya Benki ya
Exim Tanzania jijini Dar es Salaam, kuimarisha zaidi ushirikiano wa
kimkakati ka...
7 hours ago
0 Comments