Mfanyabiashara katika
eneo la darajani akifanya usafi kuondoa maji ya mvua baada ya kumalizika kwa
mvua iliokuwa ikinyesha asubuhi ya leo ili kuweza kufanya biashara yake katika
mazingira mazuri.
Wafanyakazi wa Kampuni inayosimamia mradi wa uwekaji
wa taa za kisasa katika barabara ya amani wakichimba mitaro kwa ajili ya
uwekaji wa waya kwa ajili ya kuwekea taa hizo za Solar katika barabara hiyo
0 Comments