Mradi wa ujenzi wa mtaro wa kupitishia maji kutoka katika uwanja wa mnazi mmoja ukiendelea na ujenzi wake unaofanywa na Kampuni ya Ujenzi ya Kichina ili kuurejesha katika hali yake na kutumika kwa muda wote kwa michezo katika uwanja huo.
Makubaliano Mapya Yafungua Mlango wa Tafiti na Ubunifu Tanzania
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha.
Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela kwa
kushirikiana na Taasisi ya Global Education Link Ltd wamesaini ...
19 minutes ago
0 Comments