Hatimai Ule Muembe Njuguu ukistawi baada ya kupanda muembe huo hivi karibuni kurejesha ile mandhari ya eneo hili enzi hizo kulikuwa na muembe katika barabara hii inayounganisha barabara za mikunguni na kwenda kwa Mohamemd Ali na kwenda kwa Boko ukiwa katika hali hiyo na tayari ukiwac umeshakoa embe za mzao wa kwanza. ili kurejesha historia ya muembe huu.
Makubaliano Mapya Yafungua Mlango wa Tafiti na Ubunifu Tanzania
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha.
Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela kwa
kushirikiana na Taasisi ya Global Education Link Ltd wamesaini ...
1 hour ago
0 Comments