Wapenzi wa mchezo wa mpira Zanzibar wakifuatilia mcka mchezo huo Timu ya Jangombe Boys imeshinda 2--1 dhidi ya wapinzani wao Timu ya KMKM, magoli ya Jangombe Boys yamefungwa katika dakika ya 14 ya kipindi cha kwanza na mchezaji Hafidh Barik na la pili limefungwa na mchezaji Ramad Khamis katika dakika ya 74 ya mchezo kipindi cha pili na goli la kufutia machozi la Timu ya KMKM limefungwa na mchezaji Amour Ali katika dakika ya 79 ya mchezo huo kipindi cha pili.
RC MARA ATEMBELEA UJENZI WA MAKAZI MAPYA YA WANANCHI WANAOPISHA UPANUZI WA
MGODI WA BARRICK NORTH MARA
-
Mkuu wa Mkoa wa Mara,Kanali Evans Mtambi akitembelea moja ya sehemu
inapojengwa nyumba ya mwananchi ambaye amepatiwa fidia kupisha upanuzi wa
mgodi wa Bar...
20 minutes ago
0 Comments