6/recent/ticker-posts

Mkuu wa Wilaya ya Chakechake Afungua Mafunzo ya Tathimini ya Mradi wa MIVARF

Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Pemba, bibi Hanuna Ibrahim Massoud, akifunguwa Warsha juu ya Tathmini ya Miradi inayotekelezwa na MIVARF , juu ya mpango wa huduma za fedha Vijijini  huko katika ukumbi wa Misali Sunset Beach , Chake Chake Pemba.
Baadhi ya Washiriki wa Warsha hiyo wakifuatilia kwa makini hotuba ya Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake , bibi Hanuna Ibrahim Massoud.(Picha na Bakar Mussa -Pemba.)

Post a Comment

0 Comments