Wananchi kisiwani Unguja wakiwa katika foleni wakisubiri kuingia katika Meli hiyo kujionea uzuri wake wakiwa katika bandari ya Malindi Zanzibar ambayo ilizinduliwa hivi karibuni na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein.
RC MARA ATEMBELEA UJENZI WA MAKAZI MAPYA YA WANANCHI WANAOPISHA UPANUZI WA
MGODI WA BARRICK NORTH MARA
-
Mkuu wa Mkoa wa Mara,Kanali Evans Mtambi akitembelea moja ya sehemu
inapojengwa nyumba ya mwananchi ambaye amepatiwa fidia kupisha upanuzi wa
mgodi wa Bar...
5 minutes ago
0 Comments