Moto mkubwa unaendelea kuwaka mitaa ya Kiponda mjini Unguja jirani na msikiti wa Shia Ithnasheria. Jitihada za kuuzima moto huu zinaendelea ila jitihada za ziada zinahitajika za msaada wa magari ya maji baada ya Magari ya zimamoto kuishiwa na maji na kwenda kuyafuata wakati wakijaribu kuuzima moto huo.
Meridianbet Yatoa Samsung A26 Kupitia Super Heli
-
MERIDIANBET haikuja na kelele, imekuja na mpango mkakati kwa ajili ya
wateja wake. Imeileta promosheni maalumu kupitia mchezo wa Super Heli ikiwa
ni prom...
3 hours ago



1 Comments
Hii habari mbona hatujapata update zozote? Au ndo umeme haujarudi bado?
ReplyDelete