Moto mkubwa unaendelea kuwaka mitaa ya Kiponda mjini Unguja jirani na msikiti wa Shia Ithnasheria. Jitihada za kuuzima moto huu zinaendelea ila jitihada za ziada zinahitajika za msaada wa magari ya maji baada ya Magari ya zimamoto kuishiwa na maji na kwenda kuyafuata wakati wakijaribu kuuzima moto huo.
WAZIRI MKUU AKAGUA UJENZI WA JENGO LA HUDUMA (WING B) HOSPITALI YA RUFAA YA
MKOA WA KATAVI
-
▪︎ Aagiza mradi ukamilike kwa wakati na ubora, asisitiza malipo kwa
wafanyakazi wa mradi yafanyike kwa wakati
▪︎Awapongeza watumishi wa afya kwa weledi
WA...
34 minutes ago



1 Comments
Hii habari mbona hatujapata update zozote? Au ndo umeme haujarudi bado?
ReplyDelete