Nyumba ya Wakaazi wa mtaa wa Kiponda Unguja katika Mji Mkongwe tayari limeshafanyiwa mategenezo yake kwa kiasi kikubwa na karibu kumalizia ujezi huo kuweza kuruhusu wakaazi wa nyumba hiyo kurudi katika Makaazi yao Ujenzi huo unafanywa na Kamati ya Maafa ya Zanzibar, na tayari limeshafanyiwa ukarabati mkubwa wa kuezekwa kwa bati jipya na kumalizia sehemu ya ndani ya jengo hilo kama linavyoonekana pichani.
Rais Dkt. Samia Afuturisha Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali,
Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akijumuika na Wananchi wa Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba kwenye
Futari aliy...
9 hours ago
0 Comments