Nyumba ya Wakaazi wa mtaa wa Kiponda Unguja katika Mji Mkongwe tayari limeshafanyiwa mategenezo yake kwa kiasi kikubwa na karibu kumalizia ujezi huo kuweza kuruhusu wakaazi wa nyumba hiyo kurudi katika Makaazi yao Ujenzi huo unafanywa na Kamati ya Maafa ya Zanzibar, na tayari limeshafanyiwa ukarabati mkubwa wa kuezekwa kwa bati jipya na kumalizia sehemu ya ndani ya jengo hilo kama linavyoonekana pichani.
MBUNGE MNZAVA AWAKABIDHI WAZEE 300 BIMA ZA AFYA KUPITIA MAKUYUNI FESTIVAL
-
*MBUNGE wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Mhe. Timotheo Mnzava, ameendelea
kutekeleza mikakati ya kuboresha huduma za afya kwa wazee kwa kugawa Bima
za Af...
2 hours ago
0 Comments