Gari ya Idara ya Utuzaji Barabara Zanzibar ikifanya kazi ya kuweka lami katika moja ya barabara za Unguja katika kuimarisha barabara hiyo kama walivyokuwa Wafanyakazi hawa wakiweka lami katika barabara ya Amani kwenda Kwerekwe ilikuwa imeharibika kwa mashimo katika eneo hilo na kuwa kero kwa watumiaji wa barabara hiyo.
Rais Dkt. Samia Afuturisha Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali,
Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akijumuika na Wananchi wa Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba kwenye
Futari aliy...
7 hours ago
0 Comments