Mkurugenzi wa DCMA Bi Fatma akitowa maelezo ya Chuo hicho ambacho kwa sasa kimashafikishja miaka 15 tangu kuazishwa na kutowa mafunzo ya Muziki kwa Vijana mbali mbali chuani hapo na kusema hawa ni baadhi ya Vijana wanaomaliza mafunzo yao ya kujifunzi upigaji wa Miziki na kutumia vyombo mbalimbali vya muziki vya asilia na vya kisasa. Wakionesha jinsi ya kufauli mafunzo yao hayo kwa unesho hili katika viwanja vya forodhani.
MAKAMU WA RAIS DKT NCHIMBI MGENI RASMI KILELE CHA MAADHIMISHO WIKI YA MAJI
MKOANI MOROGORO
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi akisafiri kwa Treni ya Kisasa ya Umeme ya SGR kutoka Dar es Salaam
kue...
10 hours ago
0 Comments