Mkurugenzi wa DCMA Bi Fatma akitowa maelezo ya Chuo hicho ambacho kwa sasa kimashafikishja miaka 15 tangu kuazishwa na kutowa mafunzo ya Muziki kwa Vijana mbali mbali chuani hapo na kusema hawa ni baadhi ya Vijana wanaomaliza mafunzo yao ya kujifunzi upigaji wa Miziki na kutumia vyombo mbalimbali vya muziki vya asilia na vya kisasa. Wakionesha jinsi ya kufauli mafunzo yao hayo kwa unesho hili katika viwanja vya forodhani.
RC SENDIGA APINGA TAKWIMU ZA DAWA MANYARA
-
Na Mwandishi Wetu, Manyara.
MKUU wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, amepinga takwimu zinazoonesha
kuwa upatikanaji wa huduma za dawa mkoani humo ume...
4 hours ago
0 Comments