Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, amtembelea Makamu waKwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, kumjulia hali yake baada ya kupa ruhusa akiwa na Waziri Dkt. Mwinyihaji Makame, walipofika katika hoteli ya Serena Dar es Salaam. leo kumtembelea Maalim Seif kwa ajili ya kumjuilia hali. baada ya kuruhusiwa kurejea nyumbani kutoka katika hospitali ya Hindu Mandal Jijini Dar es Salaam, amesema afya yake inazidi kuimarika siku hadi siku. Dkt. Shein alifika hotelini hapo leo majira ya saa mbili usiku. (Picha na Salmin Said, OMKR)
MAKAMU WA RAIS DKT NCHIMBI MGENI RASMI KILELE CHA MAADHIMISHO WIKI YA MAJI
MKOANI MOROGORO
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi akisafiri kwa Treni ya Kisasa ya Umeme ya SGR kutoka Dar es Salaam
kue...
8 hours ago



0 Comments