Ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Mhe. Ussi Salum Pondeza AMJAD ikiwa katika eneo la Muembemakumbi kwa ajili ya Wananchi wa Jimbo lake kufika Ofisini hapo kwa ajili ya Maendeleo ya Jimbo lao na kutoa kero zao ili kuchukuliwa hatua za kuzitatua.
Kitaifa : Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akutana na waziri Mkuu Mstaafu
Kassim Majaliwa
-
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Waziri Mkuu Mstaafu Kassim
Majaliwa nyumbani kwake Nandagala, Ruangwa mkoani Lindi.
Mheshimiwa Dkt. Mwigu...
8 hours ago
0 Comments