Wapenzi wa Timu Idumu wakishangilia timu yao wakati wa Mchezo wao wa Ligi ya Sita Bora Daraja la Kwanza Taifa kuwania kupanda daraja kushiriki Ligi Kuu ya Zanzibar mchezo uliofanyika uwanja wa Amaan Timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1.
Mheshimiwa Abdullah Akutana na Balozi wa Urusi
-
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali Mapinduzi Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman
Abdullah amekutana na kuzungumza na Balozi wa Urusi nchini Mhe. Andrey
Avetisyan ...
26 minutes ago
0 Comments