Mratibu wa Warsha ya Utegenezaji wa Vikaragosi juu Haki za Binaadamu Bi Ebele Okoye,akiongoza mafunzo ya Watoto kutengeneza Filamu za Vikatuni kwa watoto mbalimbali walioshiriki mafunzo hayo kwa Wanafunzi wa Skuli za Msingi Zanzibar wakati wa Tamasha la 19 la Nchi za Jahazi Zanzibar (ZIFF) yaliofanyika katika Kituo cha Muziki Forodhani Zanzibar.
KAMPASI YA TPSC TABORA YATOA MISAADA NA KUFANYA USAFI - KITUO CHA WAZEE
IPULI-TABORA
-
Tarehe 21 Februari 2026,
Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 25 ya Chuo cha Utumishi wa
Umma Tanzania (TPSC), Kampasi ya Tabora imefanya zia...
7 hours ago
0 Comments