Zanzibar ni moja ya Vivutio vya Watalii kutoka sehemu mbalimbali Duniani hifika Zanzibar kwa ajili ya kutembelea sehemu za historia ya Nchi hiyo kama wanavyoonekana Wageni hawa wakiwa katika mitaa ya Mji Mkongwe wa Zanzibar katika mtaa wa mkunazini wakiangalia Mbuyu ukiwa uko ndani ya Mji wa Zanzibar ni moja ya kivutio cha Watalii wanaofika Zanzibar.
MBUNGE BUKOBA MJINI ATOA MSAADA KWA MAKUNDI MAALUM,WANUFAIKA WA TASAF
-
Na Diana Byera,Bukoba
MBUNGE wa Jimbo la Bukoba Mjini, Johnston Mutasingwa ameendelea kugusa
maisha ya wananchi kwa vitendo baada ya kutoa msaada kwa mak...
15 minutes ago
0 Comments