Zanzibar ni moja ya Vivutio vya Watalii kutoka sehemu mbalimbali Duniani hifika Zanzibar kwa ajili ya kutembelea sehemu za historia ya Nchi hiyo kama wanavyoonekana Wageni hawa wakiwa katika mitaa ya Mji Mkongwe wa Zanzibar katika mtaa wa mkunazini wakiangalia Mbuyu ukiwa uko ndani ya Mji wa Zanzibar ni moja ya kivutio cha Watalii wanaofika Zanzibar.
Wamachinga Dar wakemea uvunjifu wa amani
-
wadai suluhu ya changamoto haitatuliwi kwa uvunjifu wa amani.
Na Mwandishi Wetu
Umoja wa wa Wajasiriamali wa Mkoa wa Dar es Salaam umewataka Watanzania...
8 hours ago
0 Comments