Mafundi wa wakiweka mabomba kwa ajili ya kupisha kuweka lami barabara ya Misufini kwenda Biziredi barabara hiyo inafanyiwa ukarabati mkubwa wa kuwekwa lami ili kutowa huduma kwa wananchi wa maeneo hayo.
Wamachinga Dar wakemea uvunjifu wa amani
-
wadai suluhu ya changamoto haitatuliwi kwa uvunjifu wa amani.
Na Mwandishi Wetu
Umoja wa wa Wajasiriamali wa Mkoa wa Dar es Salaam umewataka Watanzania...
9 hours ago
0 Comments