Wachuuzi wa Samaki katika manispa ya Zanzibar wakiwa katika pwani ya Malindi wakisubiri wavuvi kurudi bahari ili kupata samaki katika mnada wa soko hilo, ndoo moja ya dagaa osha osha iliuzwa kati ya shilingi 7000/= katika mnada huo.
TANZANIA YATUMIA MICHUANO YA AFCON 2025 KUUZA MAZAO YA UTALII
-
Na mwandishi wetu, Morocco
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hassan Chande (Mb), amesema
Tanzania inatumia fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (...
8 hours ago
0 Comments