Sikiliza kipindi maalum kinachozungumzia maadili katika malezi ya wazee wetu wa zamani na vijana wetu wa leo,vipi ndoa za zamani zilivyokua zikifanyika pamoja na sabubu za kudumu hali ambayo ni kinyume na wakati huu ambapo ndoa nyingi zimekua zikikatika katikati.Jee unajua sababu,sikiliza kipindi hiki kinachoongozwa na Salmin Juma -Pemba
EWURA KANDA YA KASKAZINI YAWANOA VIONGOZI WA WILAYA YA KOROGWE
-
*Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kupitia Kanda ya
Kaskazini, leo tarehe 5 Machi 2026 imetoa elimu kwa viongozi wa Wilaya ya
Kor...
1 hour ago
0 Comments