Sikiliza kipindi maalum kinachozungumzia maadili katika malezi ya wazee wetu wa zamani na vijana wetu wa leo,vipi ndoa za zamani zilivyokua zikifanyika pamoja na sabubu za kudumu hali ambayo ni kinyume na wakati huu ambapo ndoa nyingi zimekua zikikatika katikati.Jee unajua sababu,sikiliza kipindi hiki kinachoongozwa na Salmin Juma -Pemba
JK ATUA MKOANI KAGERA KUHUDHURIA HAFLA YA UWEKAJI JIWE LA MSINGI LA KAMPASI
MPYA YA UDSM YA BUKOBA
-
MKUU wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Awamu ya Nne, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akiwasili
katika...
47 seconds ago
0 Comments