Wafanyakazi wa Baraza la Manispaa Zanzibar wakifanya usafi katika eneo la kijangwani baada ya kuhama wafanyabiashara za mbao katika eneo hilo ili kupita ujenzi wa kituo cha kisasa cha daladala katika eneo hilo zamani kulikuwa na kituo cha mabasi.
Taarifa Binafsi : PDPC Yatoa Onyo Kali: Faini Hadi Bilioni 5 kwa Taasisi
Zitakazokaidi Usajili wa Taarifa Binafsi
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Zikiwa zimesalia siku chache kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili wa
hiari kwa taasisi zinazokusanya na kuchaka...
6 hours ago
1 Comments
Tunaishukuru serikali, najua piapatajengwa na maduka, isije kuwekwa office za kisiasa tu,serikali itakuwa haitutendei haki,jengine kabla ya ujenzi tupate hio planning ya kituo tutoe maoni yetu
ReplyDelete