Fr. Richard Haki akiongoza Ibara ya Krismas katika Kanisa la Minara Miwili Shangani kuadhimisha Siku ya Kuzaliwa Yesu Kristo. ibada hiyo imefanyika katika kanisa hilo na kuhudhuriwa na Wananchi wa Zanzibar na wageni waliofika Zanzibar kwa matembezi mbalimbali wamejumuika katika ibada hiyo.
DKT. MUYUNGI ASISITIZA KASI UJENZI WA JENGO LA OMR, MTUMBA DODOMA
-
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi akipata maelezo
kuhusu hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa mradi wa jengo la ofisi hiyo
unaoendelea ka...
28 minutes ago
0 Comments