Kampuni inayosimamia uwekaji wa Camera za CCTV barabarani Zanzibar ili kudhibiti ajali za barabarani na kwa maderevya wanaotumia barabara hiyo kuwabaini wakati wanapofanya makosa hayo wakiwa katika maeneo ya barabara na kukimbia baada ya kufanya makosa. wakiwa katika zoezi hilo katika makutano ya barabara Kiembesamaki kwenda Fumba.
DKT. MAULID ASISITIZA ITIFAKI NA TABIA NJEMA KWA VIONGOZI WA ELIMU
-
Mkutano Mkuu wa 12 wa Umoja wa Maafisa Elimu wa Mikoa na Halmashauri
Tanzania Bara (REDEOA) umeendelea kufanyika jijini Arusha kwa siku saba
tangu ulipofun...
2 hours ago
0 Comments