BIASHARA ya Minazi katika kipindi hiki cha Mvua
zinazoendelea Kisiwani Pemba, imekuwa maradufu ambapo mche mmoja huuzwa kati ya
2,500/= hadi shilingi 3,000/=, pichani gari aina ya keri ikiwa imepakia miche
hiyo katika soko la Matunda Chake Chake.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN,PEMBA).
TPDC INAENDELEA NA UPANUZI WA GESI ASILIA KWA MATUMIZI YA VIWANDANI NA
MAJUMBANI
-
Na Mwandishi wetu - Dodoma
Shirika la Maendeleo la Petroli Tanzania (TPDC) inaendelea kupanua
miundombinu ya kusambaza gesi asilia kwa matumizi ya vi...
6 minutes ago

0 Comments