BIASHARA ya Minazi katika kipindi hiki cha Mvua
zinazoendelea Kisiwani Pemba, imekuwa maradufu ambapo mche mmoja huuzwa kati ya
2,500/= hadi shilingi 3,000/=, pichani gari aina ya keri ikiwa imepakia miche
hiyo katika soko la Matunda Chake Chake.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN,PEMBA).
DOYO AONGOZA KIKAO CHA TATHIMINI YA UCHAGUZI MKUU WA OCTOBA 2025.
-
Na Mwandishi Wetu,TANGA
KATIBU MKUU wa Taifa wa Chama cha NLD Doyo Hassan Doyo leo January 6 mwaka
huu 2026 ameongoza kikao cha Tathimini ya Uchagu...
2 hours ago

0 Comments