MKUU wa Wilaya ya Mkoani Mhe:Hemed Suleiman
Abdalla, akimpatia mtoto mchanga chanjo katika hospitali ya Mama wajawazito na
watoto Gombani, katika uzinduzi wa Chanjo kwa watoto ya kitaifa kwa bara la
Africa kila ifikapo Aprili 24 ya kila mwaka.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN,PEMBA).
KAMPASI YA TPSC TABORA YATOA MISAADA NA KUFANYA USAFI - KITUO CHA WAZEE
IPULI-TABORA
-
Tarehe 21 Februari 2026,
Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 25 ya Chuo cha Utumishi wa
Umma Tanzania (TPSC), Kampasi ya Tabora imefanya zia...
4 hours ago


0 Comments