MKUU wa Wilaya ya Mkoani Mhe:Hemed Suleiman
Abdalla, akimpatia mtoto mchanga chanjo katika hospitali ya Mama wajawazito na
watoto Gombani, katika uzinduzi wa Chanjo kwa watoto ya kitaifa kwa bara la
Africa kila ifikapo Aprili 24 ya kila mwaka.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN,PEMBA).
MNZAVA AWASIHI MADIWANI NA WENYEVITI WA VIJIJI KUSHIRIKIANA KUTATUA
MIGOGORO YA ARDHI
-
*Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Mhe. Timontheo Mnzava, amewataka
madiwani na wenyeviti wa vijiji kushirikiana kwa karibu katika kutatua
migogoro...
6 hours ago


0 Comments