Mvua za masiki zinazoendelea kunyesha katika maeneo ya mji wa unguja baadhi ya maeneo imesababisha kuanguka kwa miti kama unavyoonekana muembe huu ulianguka katika barabara ya maruhubi na kuzuiya njia hiyo kupitika kwa Muda hadi ulipokatwa na kurejesha huduma hiyo
ZAIDI YA BILIONI 517 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA DAR ES SALAAM
KUPITIA DMDP II
-
Dar es Salaam.
Zaidi ya Bilioni 517 zimeelekezwa kuboresha miundombinu ya barabara Mkoa
wa Dar es Salaam kupitia Mradi wa Uendelezaji Jiji la Dar es Sal...
32 minutes ago




0 Comments